...MVUTA bangi alikwenda kwa
daktari na kumwambia.
“Mara nyingi huwa nazungumza na watu,
lakini cha kushangaza watu hao huwa
siwaoni, utanisaidiaje daktari?”
Daktari: “Ni wakati gani huwa inakujia
hali kama hiyo?”
Mvuta bangi: “Mara nyingi pale
ninapoongea nao kwa simu.”
Post a Comment
Post a Comment