"Hazard anaweza kufikia rekodi na uwezo wa Ronaldo na Messi, ila tu inabidi awe na njaa ya magoli. Akifunga goli la kwanza basi apambane afunge na la pili, na akifunga la pili ahangaike afunge tena la tatu, inabidi awe na njaa ya magoli" alisema kocha Antonio Conte.
Ronaldo ametoka kushinda tunzo ya mchezaji bora ya Ballon d'or akiwapiku Lionel Messi na Neymar dos Santos huku Eden Hazard akimaliza kama mchezaji wa 19

Post a Comment
Post a Comment