Klabu ya Borrusia Dortmund jana ilipotez mchezo wake mwengine dhidi ya Stuttgart kwa 2-1, huku ikimuacha mshambuliaji Pierre Aubameyang.

Akolo alianza kuifungia Stuttgart kabla ya Andre Schrulle wa Dortmund kukosa penati na Phillip kumalizia mpira uliokolewa na kufanya matokeo kuwa 1-1.

Brekalo wa Stuttgart akawafanya mashabiki wa Dortmund wapooze mara baada ya kuongeza na matokeo kuwa Stuttgart 2-1 Dortmund.

Lakini Dortmund ilipoteza mchezo huo mara baada ya kumkosa mshambuliaji wake Pierre Aubameyang aliyeadhabiwa na klabu hiyo mara baada ya utovu wa nidhamu alioonyesha nyota huyo.

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://pbs.twimg.com/media/DMZ1UrCXcAAa6Ij.jpg} Johnny malcom is the proffesional public health officer,graphic designer and amature mechanical engineer who likes blogging as much as eating. {facebook#https://www.facebook.com/Runc2} {twitter#https://twitter.com/Runcxx} {google#https://plus.google.com/u/0/113916418534820565109} {pinterest#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {youtube#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {instagram#https://www.instagram.com/official.seeker/?hl=en}
Powered by Blogger.