Kiungo mkongwe wa zamani wa timu ya taifa ya uingereza na majogoo wa london Liverpool steven gerrad  mwenye umri wa miaka 36 sasa anaweza akastaafu soka rasmi baada ya timu yake ya La galaxy kuchapwa katika nusu fainali ya western conference.

La galaxy wamechapwa kwa penati na Colorado rapids jumapili gemu ambayo inaonekana kuwa ya mweisho kwa steve.
Los Angeles Galaxy midfielder Steven Gerrard (8) reacts after scoring a goal from the penalty spot
Mkataba wa kiuongo huyo ambaye alipata penalti yake ya kwanza na kumwacha rafiki wake wa zamani na kipa wa everton Tim howard bilamatumaini mpaka sasa hakuna mazumzo yeyote na club yake juu ya kumuongezea mkataba ambao unaishia mwezi wa 12 mwaka huu

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://pbs.twimg.com/media/DMZ1UrCXcAAa6Ij.jpg} Johnny malcom is the proffesional public health officer,graphic designer and amature mechanical engineer who likes blogging as much as eating. {facebook#https://www.facebook.com/Runc2} {twitter#https://twitter.com/Runcxx} {google#https://plus.google.com/u/0/113916418534820565109} {pinterest#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {youtube#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {instagram#https://www.instagram.com/official.seeker/?hl=en}
Powered by Blogger.