Vichaa waliambiwa watengeneze TV kwakutumia mabox.
Siku ya kuleta TV vichaa wote wakaleta mabox
yao kasoro mmoja aliyekuja na karatasi.
yao kasoro mmoja aliyekuja na karatasi.
Dokta akahisi amepona,akamuuliza we vp mbona
umeleta karatasi?
umeleta karatasi?
Kichaa: Hamna dokta hii ni FLAT SCREEN.
Post a Comment
Post a Comment