Usiku wa leo kutakuwa na mchezo wenye mvuto sana pale Uingereza katika dimba la St.Mary's park ambapo wenyeji wa uwanja huo Southampton watawakaribisha vijana wa Maurio Pochettinho, Tottenham Hotspur ambao mwenendo wao umekuwa sio mzuri kwa sasa.
Ikumbukwe moja kati ya vionjo vya mechi hii ni pale Victor Wanjama kijana wa Kikenya atakaporudi kwa mara ya kwanza katika kiwanja ambacho msimu uliopita alicheza akiwa kama mwenyeji akiwa na jezi za Southampton wakati usiku wa leo atarudi akiwa kama mgeni katika uwanja huo akiwa katika jezi za vijana wa London kaskazini, Tottenham.
Ikumbukwe moja kati ya vionjo vya mechi hii ni pale Victor Wanjama kijana wa Kikenya atakaporudi kwa mara ya kwanza katika kiwanja ambacho msimu uliopita alicheza akiwa kama mwenyeji akiwa na jezi za Southampton wakati usiku wa leo atarudi akiwa kama mgeni katika uwanja huo akiwa katika jezi za vijana wa London kaskazini, Tottenham.

Post a Comment
Post a Comment