1926: Azaliwa mkoa wa kaskazini mashariki wa Oriente nchiniCuba

1953: Afungwa jela baada ya kuongoza maasi ambayo hayakufanikiwa dhidi ya utawala wa Batista

1955: Aachiliwa huru kutoka jela chini ya mkataba wa msamaha

1956: Akiwa na Che Guevara, aanza vita vya kuvizia dhidi ya serikali

1959: Amshinda Batista, na kuapishwa waziri mkuu wa Cuba

1961: Awashinda wapiganaji waliofadhiliwa na CIA waliovamia Bay of Pigs

1962: Atifua mzozo wa makombora wa Cuba kwa kukubali USSR iweke makombora Cuba

1976: Achaguliwa rais na bunge la Cuba

1992: Aafikiana na Marekani kuhusu wakimbizi wa Cuba

2008: Ang'atuka madarakani kwa sababu za kiafya

Post a Comment

Johnny MaLcom x

{picture#https://pbs.twimg.com/media/DMZ1UrCXcAAa6Ij.jpg} Johnny malcom is the proffesional public health officer,graphic designer and amature mechanical engineer who likes blogging as much as eating. {facebook#https://www.facebook.com/Runc2} {twitter#https://twitter.com/Runcxx} {google#https://plus.google.com/u/0/113916418534820565109} {pinterest#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {youtube#YOUR_SOCIAL_PROFILE_URL} {instagram#https://www.instagram.com/official.seeker/?hl=en}
Powered by Blogger.