•Kufuatia kuandama kwa mwezi hapo jana ,Jeshi la polisi kanda maalumu dar es salaam limewataka wananchi kusherehekea sikukuu ya Eid Al fitr kwa amani bila kuhatarisha usalama wa afya na mali zao

Kamanda SIRRO ametoa tahadhari kwa wamiliki na waendeshao vyombo vya moto kuepuka kukodisha magari yao kwa watu wasiowajua
Post a Comment
Post a Comment