Timu ya taifa ya Zanzibar Heroes imefanikiwa kutinga fainali ya michuano ya Cecafa Chalenji mara baada ya kuwafunga mabingwa watetezi wa michuano hiyo, Uganda kwa magoli 2-1.

Zanzibar watacheza fainali dhidi ya Kenya ambao ni wenyeji wa mashindano hayo ambapo wametinga fainali mara baada ya kuifunga timu ya Burundi kwa goli 1-0.

Hongereni Zanzibar.

Post a Comment

Johnny MaLcom x

Johnny malcom is the proffesional public health officer,graphic designer and amature mechanical engineer who likes blogging as much as eating.
Powered by Blogger.