Joachim kimario maarufu kama master jay ambaye ni producer mkongwe nchini ameibuka na kusema kuwa wana hip hop wengi wa Tanzania hawajui kutumia Fursa licha ya mziki huo kupendwa zaidi na watu.
Nanukuu..
“Wana hip hop wa Kimarekani wengi wametumia muziki huo kutengeneza jina na jina lao ndilo lililotengeneza mafanikio yao tofauti na wana hip hop wa hapa Bongo, wanasubiri muziki uwalipe badala ya kuangalia na fursa nyingine kama wanavyofanya Wamarekani,”
Hii itakuwa changamoto kwa wanamziki wa hiphop na hata wale ambao wanafanya mziki mwingine
Post a Comment
Post a Comment